How to DryFry a chipo....biraru style

Ongeza leftover pork, stir kiasi. Alafu uweke maji kwa glass!

@Nefertities kumbe Jay ndo @Jirani?

Moving on,hizo chipo mwitu zinakuwanga tamu Sana. Na wale wanajifanya hapa ati hawajui kinachojandiliwa waache upus. We all know most bachelors,bachelorettes n those living alone usually have done this one time or another…

1 Like

hapo sawa…na pilipili kibao!

3 Likes

Biraru anaweza pika hata mawe

Kama yataweza kuwa edible why not?

Are you a multi handler?

hehehe…wacha kuhate at my culinary skills

No am not. I do not suffer from MPD. Satisfied? @Freestyle.

:slight_smile: :slight_smile: :slight_smile: :slight_smile:

Scumbag osorait

kweli kweli how to dryfry chipo…EXPLICIT! !!!

hehehehe…we tiga siasa meni…niuragura njohi!

hizi sasa ndo zile wanapikia watu sumu

@biraru will you marry me?

Like in seriously? You craving to be fed on junk food coz that’s what it is?

I like your profile pic. I prefer an ice cold stoney by the way!

[ATTACH=full]11107[/ATTACH]

perfect match, will supply the ice cubes on the wedding date

Biraru tusizoeane Hehe. Hiyo chakula huwezi kosa kitambi

You have never lived if you have never had chipo @biraru style alafu you wash it down with an ice cold Stoney Tangawizi. Get living my niccur!

1 Like