Meanwhile, excerpts from William’s speech at Uhuru Park…
Na mimi nataka kumwambia bwana vitendawili, awache kuzunguka na fitina, awache kumangamanga, at anasema ya kwamba watoto wa Kenya hawatafanya mtihani, mimi nataka nimuulize bwana vitendawili kutoka Uhuru Park, kwa sababu yeye hajafanya mtihani wa shule ya msingi na hajafanya mtihani wa shule ya msingi… na hajafanya mtihani wa shule ya upili, ndio hajui maana ya mtihani ile watoto wetu watafanya mwisho wa mwaka huu. Na kama sisemi ukweli, nataka bwana vitendawili atuonyeshe certificate yake ya primary school na certificate yake ya secondary school…" Said DP Ruto
Tupewe updates wenye hatuonangi news…
Na niambiwe hao half a million ukambani leaders ndio wagani hao… Hata kura wa wakanesa wote zimefika hio budget? cc: @vuja de ukambani spokesman…
Ameulizwa about the nurses strike and what he will do about it akaanza kutoa fake stories ati our hospitals have enough staff, hata yeye SRC reduced his salary etc, at the end of it all hajasema anything meaningful only empty promises.
I am not surprised that was the one thing the naserians could find to criticise and even then they blind themselves to the fact that it is a matter for the council of governors,