Mbona maswali hayaji Hajar, au kwa vile tupo Kenya ndio una wasiwasi? Yaani huku ni salama salimini kabisaa, hakuna wasiojulikana, wee uliza tu
Hahahaaa. Sawa nayaandaa naja nayo sasa hivi.
Karibu sana
Hahahahaha tupo kwa majirani
nimefurahi pia dada yangu
Ewaaaa achana na wajirani wa nyumbani tupo
Hakuna neno mdogo wangu tutaenda nao tu sawa. Hahahaaa.
Sawa dadaake
tumekimbilia huku …bora nirudi zangu Kiambuu nkatembee likizo kwa mara nyingine…naona watawala bongo hawatutaki sisi wana JF na wana jamii wote…yani hata nusiness ngoja tuzihamishie Kenya na Zambia tu …af kama vipi nioe Kenya kabisa
Nasikia wanajoto jingi
Namaanisha msiwawekee ulinzi mkali… Ama kutubania ili tuweze kuwapata
Asante sana
Nasikia ni watamu mno, hawachoshi kwabed
Hahahah
Watakutesa tu hao
Sasa tupo Kenya wakifunga na huku tunahamia Russia kuna forum kama hii ya MMU ina watoto wabichi kabisa,shida ni lugha kwa wengi wetu!
Sasa tupo Kenya wakifunga na huku tunahamia Russia kuna forum kama hii ya MMU ina watoto wabichi kabisa,shida ni lugha kwa wengi wetu!
Naomba unielimishe. Hiyana yamaanisha nini?
Karibu sana
Swali: Picha ambayo umeutumia kwa profile ni yako halisi au vipi?
Shukrani sana mkuu
Hapana si yangu.
Tutajifunza tu kirusi… Tena ndio itakuwa fursa yenyewe