True
Umetusiwa
Niaje bingwa, fafanua mimi inakaa ni nongwe
Oya… Sijamtusi, mwenyewe kasema atakuwa muisilamu juu ya hela.
Kule Mombasani, kwenye boma za waswahili kama kawaida yao wanajua kupika pilau, wali na biriani… Kuna wakristo walibadilisha dini yao ili wawe wanaalikwa kwenye hafla za waislamu ili wale wali.
1 Like
Wacha za ovyo boss, ku-compare pilau na mkwaja ni kama kufananisha ndoto na kifo
1 Like
Sludge mbona lakini hushiki
Nlishika Bingwa tulia
Iko watu hawaezi saidika Kenya hii. Mhindi akipata shortcut inawauma. Simuambie mtu wenu asign loans very soft for you.