Its the small things that matter!

[ATTACH=full]13710[/ATTACH]

hahahaha

@Nefertities pass da kushngpeng gial!

1 Like

ukiwa kamiti mtu akufanyie ivo unaweza sema lords prayer na kibukusu:D:D

1 Like

:smiley:

Nimeingia hapa nikifiri vile nitawahadithia hekaya fulani ya kidosho wangu wa kita wa asili ya ki-digo ambaye alikuwa akinitingishia kiuno katika lile tendo hadi anavuja jasho…binti kabarikiwa na kiuno swafi lazima awe alipata mafunzo mema unyagoni… Kumbe tena ni mambo ya shopping mall…aka!

Sikiza hii midundo kama una wakti

https://www.youtube.com/watch?v=JOYl0o2hzcI

https://www.youtube.com/watch?v=oXWmOPL7CHY

@The.Black.Templar have some rides on those little furry horses they have right after the food court. I’ll be there to pay the bill in a while.

YOUR GIRL IS GON’ TAKE CARE OF YOU BAE!!!

2 Likes

Kama Kamakis kuna free wifi, mbona food court ya garden city ikose?

hehe right on gurl…I will be the niccur on the black and white one

Ziko but they aint free…btw are you a frequenter at Kamakis?

Peana hio hekaya…itaniweka busy hadi @Nefertities afike mahali hapa

Who pays for the power

it should be the management…i mean it doesn’t make sense not to have power sockets all around. Even you when you build your own house and a gazebo outside, it would make perfect sense to have a socket there.

Hapana. I have been there twice only

Tenants should share the costs the way they do for cleaning, lighting etc for common areas

1 Like

Haya tega sikio basi. Msichana kama nilivyosema alikuwa wa asili ya ki-digo mzawa wa Kwale. Alikuwa kabarikiwa na Mola na chochote kile ambacho mwanamke angetaka. Nilipatana naye hapa hapa Nairobi wakati binamu wake ambaye aliyekuwa mkufunzi wangu katika chuo kikuu alinituma nikambebee mizigo na gari lake (binamu) hadi chumbani mwake kilichokuwa karibu Chiromo campus. Mkufunzi kanipa nambari yake ndiposa nimtafute nifikapo pale steji ya mombasa huko river road. Pia akanijuza binti alikuwa amesafiri kwa basi la aina ya Oxygen usiku kucha. Haya mimi kufika pale nikachukua simu nimpigie nijue alipo. kumbe mwanadada alikuwa ashaniona yeye kachukua simu na kunijibu kuwa ameliona gari la binamu wake na yuaja. Nami nikalizima gari na kutoka inje nikitembeza macho kila mahali nikimtafuta. Baada ya muda kidogo takriban dakika tatu hivi bila kumwona nikachomoza simu yangu tena ili nimpigie. Kutoa simu hivi, nikasikia sauti nyororo kando yangu yauliza “we ndiye mkufuu? umetumwa na binamu?”. Kugeuka macho yangu hayakuamini nilichokiona…kando yangu alisimama binti mrembo wa kuvutia…alikuwa na macho makubwa kama ya wahindi, ngozi nyororo isiyokuwa na alama yoyote, midomo minene iliyolowa, na nywele refu kama usinga wa mkia wa farasi. isitoshe rangi ya ngozi yake ilikuwa kama ile ya noti ya elfu. Btw @Nefertities ameshafika?

1 Like

Wacheni mambo ya serikali saidia hapa. When you build your house do you put a public socket at the gate for passersby? This is business and power costs money esp in kenya. Lighting is crucial. Charging a laptop freely is not .

Hii inafaa kuwa tagline yao.

Hio kiswahili joh? Binamu ni binadamu ama nini?

1 Like

@Mkufuu HII KISWAHILI MINGI PUNGUZA BOSS