Are you a dog?
she wants to fek him?! :eek:
Tomba haraka…murugu herbs inatafuta wagonjwa wa kutibu kisonono
Lopha ni model mpya ya Toyota ama ni gani?
Ile mchele itatembea hapa! Tuesday utaandika hekaya vile ulifagiliwa nyumba na ukaamka na cd ikiwa kwa mdeki!
Kijana utawekewa mchele ukiamka hiyo sofa yako iende pamoja na familia ya panya Ile iko huko ndani.
Liteskin unasumbua na hizi uwongo zako za kukatiwa na madem kila saa uko kwa mat. Meffi sana
Utarogwa na huo mzinga wako na keja ya beshte yako ifagiliwe. Vile nimesoma, malaya ni wewe tu
Forgive him. He forgets the lie he told last time.
chunga usipewe mdudu tukuzike kesho
[ATTACH=full]159352[/ATTACH]
boss umefika 33 hujaoa , unangoja uoe yesu ama ?
:eek::eek::eek: not yet 33, am 30 lakini hii mwaka naweka mtu ball
utawajibika cid1?
lazima kaka
Mbona anakuuliza.Kwani anataka kukuoa?Mwambie it’s none of his business.Kwani atakusaidi kulisha familia yako?Atakusadia kupeleka bibi maternity for check up and delivery?Ata kusaidia kulea watato?kusomesha?Kulipa hospitali wakiwa wagonjwa,Kulisha.etc.
Ya hao wawili hayakuhusu
peasant kama mimi mwanzo wazo la kuwa na familia yangu halinijii hata kidogo
Sweeps zingine.