duh watu mshakuwa “masinia” tayari hatari sana
Hahahaahaaa. Tumeingia kwa vurugu
Tumekufata toka jana Hujibu PM zetu
Hahahahaahaaa
Unaniita PM halafu hutokei
Hahahahaahaaa
Lini
Lini hiyo?
Jana
PM yangu itakuwa imefurikaaa…
Mambo hapa…
Mambo gani?
Hahhahahahhahhahahahhahaha, itabd ufanye mpango upya tena…
Pole sana…
Inahuzunisha sana…
Hiyo namba ya nani na mimi naomba
Hahahahahahaha
hahaha
tabia yako mbaya
Duh
Yaani wewe
Sasa namba si hukunipaaa kaka!! Mekumiss sana
nimekumiss pia dada, inabidi nikupe kwakweli…JF wameweza kutushtua mioyo