akiii sitaweza Kiswahili yao. nakomaa hapa hapa na JF yangu
Sawa basi ,ila jf kiboko jamani tulikuwa wengiiii
Huku patachangamka sana wageni tumekujaa nyuzi zitakimbiaa mpaka basi
Kabisa.
Mimi sitamani kuridi Tanzania, mtaniacha hukuhuku.
Kwanini tumekuja wote tutarudi woteee
Sirudi na mtu mimi.
Mambo ya kujisajili kwa kutumia namba za simu zilizosajiliwa sina muda nayo.
Nafunga geti hapa
Ngoja kwanza kabla hujafunga nikupe taarifa. Hahah!
Nimemleta dada yako
Umeongea jambo la msing sana na JF ao wafanye wamalize mambo yao mapema otherwise tukiwa addicted huku itakua ngumu tena kuondoka
Kwanin Mkuu?
yaan mapopo wenzangu sijui ntawapataje
Sasa hivi sio usiku
Fanaya msako uwalete hapa
yaaaan kina hb dingmtoto
Tunaitana si unajua tuko ugenin so acha tuendelee kuwakarbisha
Mimi upopo naona ulishanishinda, tena kama sasa hivi hakuna NBA ndo kabisaa.
Maserati, spade wa spade, ipogolo, Thad, …
Inatakiwa tutane kabisa mkuu kwa njia zozote zile
Kuna QUICKLEY alias SHAMMA, nimepoteza simu niliyokuwa na namba yake jamaa yule.
Very Soon hii Kenya talk itageuka kuwa Tanzania Talk