Nchi zinazoongozwa na watu wanaojitambua, sio rahisi kupewa nafasi ya uongozi kwa mtu ambaye picha zake mitandaoni zinadhalilisha ubinadamu wake. Here it is possible
Ni uyu au sio? Tunasemanga dry fry material
[ATTACH=full]186520[/ATTACH]
[ATTACH=full]186521[/ATTACH]
Kwani umeambiwa ana mke yule
Wewe Jiwe ana Mke tena mtaratibu sana!
Mimi ndio
Kwa muujibu wa hao wakubwa… anazo hizo qualification…
Alafu vyeo vya kuteuliwa si unajua… mkubwa akikupenda anakuchomeka…
Cc: @Mahondaw