xuma
21
@epoch ni nyanja ipi ungependa tuangazie?
xuma
23
Sarufi ni kipindi kipana lakini nitakushughulikia.
ziga
25
Unaomba forum na wewe mwenyewe unakitwanga twanga kiswahili!.. …Thicwo!
epoch
26
Mtu hukosoa na kurebisha. Lakini ujumbe wako nimeupokea.
ziga
27
Hebu tiririka kidogo tuupime huo ugwiji.
1 Like
_Iramba
28
Tujumuike kwenye uzi huu huu ili tujifunze Kiswahili