mkuu Akili za hii mifugo ya lumumba n kama za maiti tu
na we msukule umeleta kende huku?, endelea kusifia mabasha zako fisiem
Looh chukua chako mapema
Cheupe wa Tegeta
mtu akipata divisheni zero form four hawezi kuwa vizuri kiakili,hata mkimpaka dhahabu usoni atavurunda tu,jiwe si alisema anataka ma RC kama bashite haya ambebe na hapa asamehewe kodi na ma RC wengine wamwige kama jiwe alivyosisie kipitisha bandarini kama tiza,waagize vitu kisha waruhusiwe kuitisha bandarini
Shamba la bibi kila Mtu anajichumia Ila uwe fisi emu
Luambo, Luambo!
Huku mambo ni mpwitompwito
Nalog off
hAhaha