karibuni lunch...kibandaski manenos

naskia ulikamua @Art na @MISCHIEF jana

wewe kijana wa 15 years kula kidogo uone miaka zetu hizi za 30s , umbwa

Jinga

Grand ma ako 105 na asumbui, 30 sio hoja

Safi, I also eat anywhere, even in kibandaski nachangakia, mradi tu, ni safi na hakuna outbreak. Vyakula vya vibandaski huwa fresh sana, and not refrigerated.

I was in Juja last week for some mission, Nikasikia njaa, had to enter one of the kibandaski, nikaitisha chapo na minji (not minji minji (or you move on :D:D:D)), It was very delicious, the lady who cooked was western Kenya, wha! I had to ask her to also prepare some more chapos take away za supper and breakfast asubuhi, very Delicious.

Jitombe mos mos
Kunyi wewe

ungebeba the lady pia padre ukue assured of lifetime supplies of chapo na minji minji

Sssssshhhhhhh… wacha kuamsha dreaming birrionares wa ktalk.I once asked how i can recover some money and one of the comments was …

Hio ni pesa kidogo sana wacha kusumbua birrionares

hata mimi nilienda black ops mission pale Helmand nikakula kibandaski nyama ya panya na sembe

Na asisahau Chips kuku

Leo nimekula ugali mbili, sukuma na machichi :D:D:D:D:D:D:D

Mbisha muhimu padre

nimetoka kibanda pia apo nic bunyala sema lorry kuvuka na mchanga kurise nilikuwa halfway imebidi nilipie 80 bob niende nikdry

Sorry, nilimaliza kitambo forgot to take the mbisha, sa hii niko job, siku ingine mkubwa.

Amesema amekula…Sasa Mbisha unataka ya nini? Avae tumbo-cut akutumie picha?

Sawa kamua nuns pole pole sasa mkuMBWA

Tumbocat zinatoana wapi na ugali, bomolea closet kuleeee

Nuns hapan mkubwa. Mimi na chapa job.

we dont need your stale homosexual jokes , umbwaaaaa

Chill, hakuwa na ubaya wowote.