KIBAO

Mnaongea juu ya nini? Hii ndio kinywaji ya the industry titans…
[ATTACH=full]249861[/ATTACH]

LEGEND MDOMONI ASUBUHI = CHIETH FRESH, mdomo nanuka:D

This is talent…:D:D

kibao mtaani tunaiita “red label”. naona my youtman cash haikuenda kwa drain!!! I made the right decision

so watu wa cocktail wakiyawn huwa hivyo juu every cocktail huundwa na hii. Hakuna mtu hutumia ciroc to make cocktail

Kibao was good circa 2007_2012 then ilikuwa na flavor ya coconut kwa umbali… Siku hizi hio drink ni kemikali. Unachukua sip…mwili inatoa ile rash ya kusikia baridi…unakunja sura nikama umetaste dawa.

Sisi kama Kariobangi Industries we’ve also noted and will ensure that there’s constant supply

reminds of yester years…kibao+krest+goks…starehe tosha

Hunters iko level gani?

Get used to eating before taking spirits…or just stick to Tusker Cider.

Kiyana Mimi ni veteran… nilikunywa Safari Cane ikiwa na diff flavours from cane, gin, rum and Vodka, nimekunywa poolers 1 bottle = 3 beers… Nimekunywa black and white gin ikiwa kwa satchel… Naweza kupa lecture on alcoholic drinks. Nilizianza hii maneno zamani wakati nazizi, bamziggy na Wyre walikuwa wanasifu mini packs za suffcane. Respect the vets.

[ATTACH=full]249905[/ATTACH]
Kinywaji murwa. Kinywaji timam.

sumu

Hiyo suruba niaje maze?
Nilicheki maboy wakipiga pia chrome.
Don’t pint anymore siwezi jua kama iko swafe.

Mali swaffe ya EABL at 200 Bob local pubs na marima taoh

I tell yah…
:smiley:

Huko ni Wapi chief shrubbist

:D:D:D:D:D:D Bora mutu Alewe kesi baadaye

chrome iko sawa, ya KBL, kujua bonoko ndo ngori

this is the only good cheap whisky. the rest from William Lawson to Vat69 to Jameson ni changaa tu afadhali mtu akunywe beer