Kifungua kinyua Fit for a Truck Driver; Full English Breakfast.

Mlolongo?

2 Likes

Jina “Nywesha” laashiria nini? Lina ashiria kitendo cha kumfamnya mwengine “Anywe” kitu. Hiyo ni kumaanisha Jina “Kunywa” huandikwa na herufi “Kunywa” sio herufi “Nyua” kama ulivo ashiria hapo juu. Ingelikuwa “Nyua” basi neno “Kunywesha” lingeandikwa Kunyuesha ama neno “Anywe” lingeandikwa “Anyue” na hata mtoto mdogo anaweza kuona kwamba ninavosema ndivyo, na siyo vile unavyosema…
Ndugu yangu nitaweza kusema kuwa, Siku Ngeli ya “kufanywa” ikifunzwa na mwalimu wenu, wewe ulikuwa unaota na msichana wa jirani yenu na hivyo basi damu ikakutoka kichwani ikateremka hadi mtamboni…na hapo ndipo adhari ya matamshi ilikukumba.

6 Likes

More Mtito Andei than Mlolongo kitu inakosa hapa ni wale wasee wa “njugu karanga,mayai ya moto na biscuitsssss!!!” x10

For a minute i thought you had copy pasted it from some Kamusi kumbe unajaribu kutuvisha kilemba cha ukoka na kutupaka mafuta kwa mgongo wa chupa…Lo!! Ya Mungu ni mengi ya kuku Mayaiiii…

1 Like

Yaonekana wengi wetu walikumbwa na haya ‘sudden blood transfer’ syndrome.

1 Like

@Nananimpa is one hot lady…

1 Like

Thanks for your observation,you have very good taste BUT she is spoken for by ME!
Tusizoeane priss… jipatie shuguli mambo ya watu wawili usiingilie. Thankyou.

1 Like

hahaha…:D:D

@Ka-Buda it was just a complement usiogope…priss pitia hapa Milton Keynes mall one day ukule breakfast ingine bill yangu,thank you.

1 Like

I think the heading of this post should have been breakfast for senior truck driver ama?

Two days ago nilikuwa Bletcheley Park (sp) humo humo Milton Keynes i,i always get nyama from the South African butchery sijui ama unaijua its not too far from IKEA. There was this Tanzanian joint we used to go to for “Mduara” karibu hapo Nandos na Ice rink,bado iko? Next time niko hizo mtaa nitakujulisha ununue kimoja!

Wewe nilikwambia uko na minyoo. Wacha Ubaluya puana! Hii apana mashindano puana!
Joke; What is a Luhya man`s ambition in life?
Answer; Kumaliza jogoo mbili!: Pakiti mzima ya unga wa ukali na Kuku wa Jogoo mzima.(kabuda-2015)

Mluhya akisikia wageni wanakuja
[ATTACH=full]4455[/ATTACH]

2 Likes

Kiamsha kinywa ndilo neno sahihi

Well noted Bwana Kinyua.

Kwa hivyo basi, kiamsha Kinyua yaafaa kuwa alarm clock ya Kinyua!

1 Like

@ka- buda,Hapo kuna fried placenta? Your favourite meal

1 Like

KABUDA NI UKWELI ULIFRY FOETUS UKAKULA?

ati ntakula hii ndesho wapi?!

H

Hizo ni skulls ama ni vichwa za mbwa unakula?