Kuishi nchi yenye Paypal/Stripe restriction ni `hell hell hell` kwa freelancers..

Tafuta usaidizi humuhumu. Verification kitu cha rahisi.

Ingia facebook group “ACADEMIA RESEARCH WRITERS (Original)” utafute watu wa ID na utility bill wakusaidie kutengeneza verification docs.

Ahsante kwa ushauri mkuu… ya Tz haijafungwa ntajaribu kuilink with payoneer… ile ya kenya walitoa mwisho 30th June, 2018.

Poa. Kuna group ya fb umetajiwa apo juu. Nenda apo jieleze utatengenezewa ID yenye picha yako na majina yako utumiwe kama parcel kwa bus labda. Kitu safi itakubalika adi paypal. Then iyo ya Tz ukilink na payoneer sio hapo kwa “add card” ni hapo kwa “add bank account” alaf add US bank account. Ni account kabisa ya US inakuja na bank name acc no swift code kila kitu kwaivo haijitaji mahali kua imepatkana kupitia payoneer. All the best

Leta majina yako kamili nikutengenezee kitambulisho

Leta picha na details nikutengemezee fake kenyan Id

Kuwa purogirama ama furiiilansa kazi nyepesi kweli hapa nchi ya kikomiunisti ya muungano wa tanzania.
By the way did you change presidents ama bado ni short guy mkapa??

Thread…:D:D:D:D kiswahili kitukuzwe.

Tell them to be paying you in cryptocurrency

[SIZE=5]unataka mwenzio aingie big losses.
Kila siku prices za Cryptos zina fluctuate ovyo ovyo.[/SIZE]

Kwani TZ hakuna M-pesa?

:D:D:D:D Wakenya wakora TUPU!!! No wonder Magufulians wanatuogopa….
[ATTACH=full]177165[/ATTACH]

wale wa kulipwa na muhindi tuketi wapi

Sio ya Safaricom

Vuka border register a safcon line and then peana street address ya Kenya. Then you can access your cash from paypal via mpesa. But I think that advice about payoneer is better

Tanzania is a shithole country