[ATTACH=full]4730[/ATTACH] thie ukamie…geko…
Kwa hivo you are abusing your moderator cheo and snoop into people`s inboxes? That is so low even by your perverted standards…
Wa kukatiana wakatiane
na wakulilia wanawake waendelee kulia like u do… ? @davideekhead…
si ushughulike na mambo yako… ama mistari zako zenye unarushia mafimbo wa huku inakula chuma
Vipi head boy kesho shule zina funguliwa saa ngapi?
[FONT=Verdana]punguza ka.mouthing kajanaa…[/FONT]
Sawa village captain …sasa endea top layer kwa old monk.
umemeda?
[ATTACH=full]4733[/ATTACH]
Huyo ni wewe?
Itt fabian trying to be an elder.feed the trolls end month only.
usinitaje ovy ovy kijana you will get hurt…speaking of which kuna mresh anaitwa @Viv …si unidunge contacts zake boss…will give you second dibs;)
Wewe unalilianga wanaume? Isooorait
hahaha ati @Viv ulijuaje kuna villager kama huyo na hajawai andika kitu hata moja??? Wewe ni fisi kamili, moto wa kuotewa mbali tu sana