Mimi naanza na wewe, rula huikwepi
Hmm!..
Samahani mkuu… Hapo nimemaanisha yule Baba mwenye KOMWE…tehteehhh
:D:D:D…
Nasikia katoka na baba mkubwa:p:p
Mpina waziri Wa uvuvi na kitoweo
Usinitie Simanzi.Kuna majitu yana roho chafu kama kinyesi cha nguruwe.