Hii ni uongo villagers. I didnāt read btw as its too long but first 5 statements are lies thus this is a lie
Najua kwenye Chuka Boys iko and it is nowhere near Chuka University. Chuka boys is situated in Chuka as you go to Chuka-Kaanwa-Tharaka road, just above Kathituni boarding. Nayo Chuka University iko Ndagani, 5KM away as you head to Nkubu, Meru.
I know because nilikuwa Chuka Catholic primary school before it was closed at one time and I lived in Chuka for 8 years. Chuka boys, Kathituni boarding attend the same church, ST Joseph catholic church which fence yake imeshikana na Chuka Boys
inakaa kusoma kwako ni shida. did i at any one point say i was in chuka boys. na first statement ni mixed day highschool in chuka, kama hiyo inafit description ya chuka boys, unashida, lakini pia chuka catholic primary school ilikuwa inatoa wasee si wajanja sana.
Niqa, there is no other reputable school in Chuka except Chuka, Ikuu. Hiyo ulikuwa inatisha bana. The only other school left is DEB for the Special kids. Unataka niende archives ni prove that ulisema ulikuwa Chuka Boys?
As a matter of fact, you are speaking to a number 2 in Tharaka Nithi KCPE, Number 50 country wide KCPE, A busherian, class list number 4, and an achiever of an A and soon naenda majuu. Keti kando and see your life.
:D:D:D:Dvery funny. sasa you are bragging about performance na kuenda majuu? achiever of an A?? nlibakisha kiasi sana niachieve that same grade regardless of the fact that nilisomea ndagani, a very small day school. sasa wacha pangāangāa mingi, if u cant read a hekaya and understand, nashidwa ulisoma aje ukapata A. FOCK OFF. yes please enda hyo archive, i will even pay you for your trouble.