Mkuu, humu tukikuja tunabadili swag ili totoz watuone…
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Poa Poa mkuu Heshima kwako
Mkuu umetisha sana
Tunapaswa tutishe kama njaa mkuu, maana hawa manzi wa Keiiii wanajifanyanga wako juu joooo…
Tehetehetehe
Usiwalaumu sana mkuu, serikali yako imewabana sana.