He he he…
Restaurant maguta maguta!
hutashiba hiyo
Wapi mboga na Nyanya.
Enyewe hii kijiji imebeba peasants from every corner
which club is this? kama ni ile i club iliyokuwa kimathi street was closed ages ago
na hiyo frame ya 256 Mb,hi food ni kama buffet kwake.ataambiana afungiwe later ju itabakia
Mm ni peasant BT si hio extent I think uko number 1
Kama hii ndiyo sampuli ya watu ambao tunatusiana nao hapa, afadhali… ama wacha tu.
Kwani unakula meza ama unakula chakula
aesthetics, man, aesthetics…kwani wewe ni wale hukulia mabati bora food ifike tumbo?
https://www.antiques-delaval.com/1515-12951-jqzoom/flat-tin-plate-punches-adegiuli-18th.jpg
Hiyo serviette usitumie. Weka kwa mfuko ndio ukienda choo ya kanjo usianze kulalamika eti unapewa tissue paper ndogo
using a soup spoon kula madondo ambayo haina hata thufu!!!
:D:D:D
Shait.
Wacheni bangi.
ulienda NFD?
Zii. Kazi postponed.
:D:D:D:D
gathee wachana na Guinness upate balanced diet
Reduce your budget for guiness and increase food budget kijana, otherwise utakufa bure tu. Halafu after this kind of diet and drinking unaanza kutafta coomer? Utaweza kweli? Why are you punishing your body?
hamjaambia uyu jamaa poa…esteem yake imeshuka to -50%
mbona unashika kijiko na fork nikama unaendesha wheelbarrow…
ama wewe mtu ya mjengo…
Huyu jamaa ata si peasant,we can only classify him as less privileged