Sababu za kimaumbile mkuu
Na usiombe ubanwe na mkojo wa pombe
Kwani tunakojoa kwa papuchi?
pupuchi uliona??
unatafuta nini ww miss
Wewe hapo
Osha mimi macho plz pale inbox
Nadhani maumbile yao ndiyo yanawafanya washindwe kubana mkojo kwa muda mrefu…
Na utamuonea huruma mwanamke pale anapobanwa na mkojo alafu mkojo wa pombe… popote analiachia…
Cc: @Mahondaw
" wa pombe " dohh!!
Duh! kuna mmoja alinipiga kikumbo kidgo anikojolee miguuni
Mkuu atakuwa ndio wale wa kuzima taa…??? Hajui papuchi ni ipi na kikojoleo ni kipi
Yes @Mahondaw wangu… nyie wanawake mkinywa pombe za kutosha na kubanwa na mkojo kuvumilia kwenu kunakua kwa asilimia ndogo sana…
lol acha basiii!!! utani wa ngumi huo ujue!! sipati picha
Mbona mimi naona wanaume ndo wanakojoa ovyo ovyo,kila mahali,nje ndani…njiani,kwenye ukuta kila mahali!
Doh! Namshukuru Muumba kwa kuumbwa mwanaume
,
Mkuu hata ka picha
ni kweli KBS mishipa ya aibu inalegea wabanwapo