Nyang’au hii huko kwenu Nanyuki kumekuwa desert. Ukajua ile mvua imeanguka Nyahururu huwezi ongea umeffi.
Welcome to my world…
Chibu,we talking of Nanyuki or Nyahururu? Mani tigaga kuruga mbere ya ndarama na mukurino imbo…
Ithî tiwe ûratwîra ûhoro wa Nanyuki ûria gûtauma na mbura. Karî kî mûndû?
Jana ndio mvua imemwagika huku bana.
Af
After 24 months!
Gitakiuma na mbura mani na kanda i haha iratwira kuma na mbura…hehehe
Si umwambie chibu…
Kwani wewe ni Nguata Francis?
Paka
I am looking forward to being!
Mahumbwer hapa Wametoka Nyahururu?Hapa nimeona nitajificha kesho nikikuja huko gishagi kutembelea Wazazi.Sitasafisha macho spanish lounge kwa Amani??Itabidi nijifiche huko Kiandege hadi siku ya kurudi.
Hii ni Mungiki ya kuuzia watu wa nduthi kahawa usiku hapo total.
mkubwa niambie ukifika uko Spanish nikuletee yellow yellow pipos
ukitaka kucheza chini kuna sports arena
hata kiandege tutakufuata tu… mahianyu, kiahiti na ndogino
Savage :D:D:D
Haha.Ndio naingia Nyahururu.Lazima niingie spanish na sports arena incognito nisafishe macho kisha nitoroke.Hii baridi sio mchezo.
…wakubwa tembeeni home frequently…sports arena ilibadilika
Ndio niko hapa nje naongea na wasee wangu wa Mayai boiro.Nimekula kama tano na kahawa kabla nijue niaje.
Kiaje.Nataka kuingia huko baadae
WRWNBP