Yeye ni meff
def mimi ndio nitabaki ndio maana nimetusi yeye…
Nikuulize wewe? .
kama unajifunza stuff flani alafu mwalimu anakaa akikusomea… saa zingine anakulaani eti you will never understand all things in life kama hii kitu kudogo huwezi…
si akili za watu ni tofauti man.?. kuna wenye hunyita after months. mind you huyu ni fundi amefanya ov 26 yrs so yeye anaona kila kitu ni simple…
personally mse akianza kunisomea mimi hutense sana
pambana na hali yako
alafu nani ni Nachunisha majamaa sukuma
just askin
sabotage him,jengea yeye ngazi mbaya
Lazima Fundi akuheshimu, being a mtu wa mkono does not make you a lesser being, period!