pamba
May 6, 2016, 7:25pm
21
Mbesa haifiki nusu mita ,nilibeba mbesa nusu mita wayback 2004 nikaenda kununua mat ya ruai kap 088f plying that route ile kucheswa makanga na dere alifanya for two good years siwes kubali kukumbuka bearing in mind iyo ndio gari ilikuwa imesukwa inajiita scorpion.conductor alijijenga sahii ni investor ommoiner,moral of the story easy money easy go,stop flossing and start serious investments~ pamba2016.
pamba:
Mbesa haifiki nusu mita ,nilibeba mbesa nusu mita wayback 2004 nikaenda kununua mat ya ruai kap 088f plying that route ile kucheswa makanga na dere alifanya for two good years siwes kubali kukumbuka bearing in mind iyo ndio gari ilikuwa imesukwa inajiita scorpion.conductor alijijenga sahii ni investor ommoiner,moral of the story easy money easy go,stop flossing and start serious investments~ pamba2016.
Leo uko na moraleā¦tupe ile hekaya ya shiney eyes prias
Wacha umama matako ya polisi wewe. Ure in the wrong forum kiino hii.
@Mzee mzima cheza chini mtunguyaz
https://www.youtube.com/watch?v=yCVE5RcBjHo
Hiyo Sinai yako ni same na hii ya Kiraito?
1 Like
I meant niko mafutani bro.
pamba:
Mbesa haifiki nusu mita ,nilibeba mbesa nusu mita wayback 2004 nikaenda kununua mat ya ruai kap 088f plying that route ile kucheswa makanga na dere alifanya for two good years siwes kubali kukumbuka bearing in mind iyo ndio gari ilikuwa imesukwa inajiita scorpion.conductor alijijenga sahii ni investor ommoiner,moral of the story easy money easy go,stop flossing and start serious investments~ pamba2016.
@pamba wewe ni mbanāga. Hiyo nusu mita najua ni dirty money ulimangia maboyz mtaani kisha mkawarokota kama chips
1 Like
pamba:
Mbesa haifiki nusu mita ,nilibeba mbesa nusu mita wayback 2004 nikaenda kununua mat ya ruai kap 088f plying that route ile kucheswa makanga na dere alifanya for two good years siwes kubali kukumbuka bearing in mind iyo ndio gari ilikuwa imesukwa inajiita scorpion.conductor alijijenga sahii ni investor ommoiner,moral of the story easy money easy go,stop flossing and start serious investments~ pamba2016.
kama uliajiri mtu akanunua umo inner umebarikiwa nisambazie hizo baraka
1 Like
Dunya
May 7, 2016, 11:50am
30
Forum ya serious business unaeka nini maskini
Pocket change ya kununua Mugukaā¦
[ATTACH=full]39574[/ATTACH]
7 Likes
What I have come to learn, watu huangukia once in a while ndio hukuja kujitangaza hapa uliza kabuda na pound zaje za siku 2.
Ukifanya hivi kama ile Gilbeys ya uwesmake kila wiki ndio tutanyamaza. Otherwise, rudishia mhindi pesa.
3 Likes
zod
May 8, 2016, 12:38am
34
hio mbesha inakaa mlima ā¦ kweli we si msee wa kuhesabu pesa
Jirani yangu na siringi
[ATTACH=full]39767[/ATTACH]
mayeke ndio biriornea peke yake hapa