maaamaaa kuja nikununulie shangaa iko na 100% arikoho
Chief kwani sisi hukunywa pamoja
1 Like
Niko kimilili leo nimeenda kukamua watu wenu
Hiyo samaki inatoshana na the small finger kwani ni tule tunaitwa sardines?
Marinated Omena
2 Likes
Kujia Kisii kuna Cham yenye hijaongezwa vitu funny
1 Like
Ukimaliza hii tafuta momo upunguzie hizo calories!