Mbona Povu… Uko njaa miaka ngapi?
Huogopi kunatiana?
Maana yake yenyewe sijaielewa ujue
Kugandana miili yenu wakati wa kushiriki tendo la ndoa
Kiswahili chao ndiyo kinaniacha hoi!
Msemo: Kunguru si kuku, hafugiki… :D:D:p:p
Usikubali tu kuzima taa, naskia majirani hawamenyi muwa
Nini kunguru hata aite kitimoto ilmradi mambo yaende sawa
Kikuyu wanamenya, watu wazima ni Luo
ha ha ha watu wazima na uzima wao hajipunguzi kabisa
Wa
Wanazikwa kama walivyozaliwa
dah nikikutana na bwana govinda kumar naahirisha
Tena wana mipingo ya haja
Kunguru za Kenya haziwez kukuwekea
Hata maji Kwa bafu yan n mbuz +mbuz=ng’ombe
Na sisi tunaonja za ugenini
True…hata mitongozo itakua ya kibabe
Hahahaha…sisi si watu wa hasira. Nahisi ni jambo linalohusiana na lugha tu. Au labda ni kuzoea kuongea siasa
Pia wanachapwa sana vibao na wake zao.
Tumeshajiandaa kunasiana!
Ahahahaaaaaa