Maasai wanalimana na Kipsigis mbaya .Warning ngori images

He belonged to the wrong tribe and was in the wrong place at the wrong time

Come on bana. Kuwa serious.

[COLOR=rgb(40, 50, 78)]Nissan Patrol trucks, again Nani huwa na tender ya ku supply NPS hizi magaru

Kales and Maasais are entitled. That area is usually volatile

White man is the devil look what he’s doing to black Jews

Bonobos don’t care about fellow humans

How dangerous is a mshale. Ama they are poisoned? Kwani inakuweka chini instantly

Ukiekwa spinal cord you are dead or crippled my friend.

Wacha hio,cheki wa next amepigwa ya makende. Watu wanapenda mchezo sana

:D:DNdio nmeona lakini nikaona nisicheke.

:D:D:D:D:D si wewe ulukueka ya makende bro.

Umefanya niirudie, hiyo area tena ni very fertile unaeza panda wheat or maize. Wakale wamejaa na kuzaana kama panya mpaka Kuna mcas kadhaa na pia MP huko Narok.
Hii umefanya wamasai wapanic. Governor WA Narok pia ni WA community haijajulikana sana kama ni masai or Kipsigis ni wale WA small subtribes.
Ukiingia huko ndani both hukuwa na mistrust. Nishaienda kwa boma fulani Niki Ngoja mwenye burungo nilikuwa nimepeleka am telling you Hao kaleos after kunisalimia waliongea kivyao kama 3 hours nonstop mpaka nilikuwa Najiuliz kwani wanataka kuniua. Wamasai watachange tu Kiswahili with light banter wakikuuliza Narok Town iko aje.
Wakale it’s all about how masais hate them and call them lubwa. It’s better when you are with the Maa anytime.

Shamba za rift valley ni shida

Maasai vs K
Luo vs K
Kikuyu vs
I’m seeing a pattern… It’s like some people have quarrels with all their neighbours

Kipsigis are the most docile of all Kalenjin subtribes.Sijui hapa kunaendelea aje.
Labda Wa Maasai ndio wachokozi.
Wait till you meet a Tugen or a Nandi utaitana

Kaleo history shows that they were a fierce battle tribe kitambo. Used to guard ancient Egyptians before wateremke Nile river. Words like Isis na Asis ziko close among many others… Vita iko hardwired kwa DNA, ata madaktari wao utawaona kwa kiwanja ya vita na mishale if need be. Wachokozi sana!

Remember high school history teacher describing them as " war-like community"

Not funny, arrow kwa mapua na sehemu nyeti, kweli ni ngori

The guy who has it logged in his nose does not seem bothered. Ni kama anataka kukimibia aendelee na vita.

[SIZE=7]Black africa is a sh**hole ![/SIZE]