Machozi Monday Official Thread

Very poor judgement from these ‘ladies’ especially given some look like elderly mathas…

Town gani hiyo

…its a slow Monday.

Kite ni job pekee…naingianga na kutoka. Mimi ni mtu wa leafy surburbs. Kitengela hakuna leafy anything

hehehe oooo sawa basi boss

Si we just secede tupumue juu its getting boring sasa ama namna gani my friend na wakienda hakuna kurudi

Lakini siusaidie Elder na kadem hivi…niingie sandalwood ni safishwe macho na body parts zingine

Unataka mkamba nikuskumie Yvonne??

they have already taken sides

Naona senyeta wa Kakamega Cleophas Malala ako haus arrest…anasema kwa runinga amefungiwa kwa nyumba yake na inapigwa tia ngas…he he he he eh!

Nairobi town…police choppers patrolling

:D:D:D hapo tuko pamoja.

Wazi…inbox number na picture

Uko kite sweetie?

where does NTV get these airheads discussing the riots eti mmoja anasema police should have deployed in enough numbers “to ensure the safety of the demonstrators and the business community”

Are they supposed to be protesting or mooning people?
Thanks to the gods I moved out of that camp. Digehota!

At TSS tower along Nkurumah road. Anyone around this building you are welcomed for Early free Lunch

Not really but I play on those grounds once in awhile.

the guy used to be a dj back in 2007; very close friend

kisumo naona wamebarricade roads…at least leo wamepata what they want, a dose of teargas