Vipi dah nipe nambari ya simu
Hahahaaa. Lol.
Jirani ujue nimecheka kwa sauti. Hahahaaaa.
nlikuwa singo matha at 19 years old sijui mnataka kumtisha nani?happy singo mums?
Wewe walikugegeda mapema, ila hadi sasa unafurahia kuwa single maza lakini wadau itakuwa wanajipigia na kusepa.
Endelea kutoa tu, mtu chake bhana
Mtoa mada umeongea naked truth, Hawa wanaojifanya wanachagua utazani walituumba wao subiri tu… hizo 30+ zikifika akili zitakaa sawa
Kwenye bold Hapo ,mkuu umeniita au?
Kwenye bold Hapo ,mkuu umeniita au?
hatar sana…asante kwa ushaur dada
Ufanyie kazi mapema coz ushauri mzuri si rahisi kuupata pia ni vigumu kuufuata(hasa kwa mswahili)
kweli kabisa haya mambo ukiyajua mapema hutapata shida …huu ndo mwaka wangu wa mwisho namalizia kuchagua
Wale wale, angalia 30+ isikukute bado una rob rob
Aisee hii kitu imenikumba Mimi nilikua najiona mzuri mwisho wa siku nakuja kupata limwanaume mpaka nasema angenikuta enz zangu hata siku moja tu nisingedum nae…lkn leo eti anaenda kua mume…due!
hahahaa sifiki 30 najihadhari mapemaa
hahaa hii kitu ya kujiona mzur ndo inatuponza na kuchagua chagua mahandsome
Nichague mimi sasa mapemaaa
So mpk sasa wanajipigia tu wachagualiwaji ?
wanajipigiaje?
haya ukuje kwenye foleni
kama ndoto dada kazi umeifanya
umejuaje rika langu