Ukiumwa na nyoka, hata ukiona ujani lazima ushtuke…
Ni kawaida kufikiria hivyo au kua na wasi wasi… kwa jinsi mambo yalivyo kwa sasa… ila hakuna kitu kama hicho…
Cc: @Mahondaw
Ukiumwa na nyoka, hata ukiona ujani lazima ushtuke…
Ni kawaida kufikiria hivyo au kua na wasi wasi… kwa jinsi mambo yalivyo kwa sasa… ila hakuna kitu kama hicho…
Cc: @Mahondaw
Poa
Acha vilejaz tuhabarishane, hilo la mitego waachie wenyewe. ,
Tumepata tabu sana
jf haikuwepo kenyatalk ila viongozi wa kenyatalk waliombwa kuiweka na wakafanya kile watz tunataka
HAITAKAA ITOKEEE
Gerezani unahitaji mafuta ya nini we mjamaa shauri lako.
Upo lkn
Lolote lawezekana
Nipooo
Umejificha! Umefichwa?
Nimefichwa…
I see. Hongera sana