kilichonichosha jf bongo ni jinsi admins wanaweza kutia mkono kwenye comment yako na kubadili maudhui
melo ajiangalie otherwise ataipoteza jf mazima…
sema mods wa huku hawajui Kiswahili vizuri
nami nimeanza kumchoka
Ina maana wangejua Kiswahili wangekuwa kama admins wa JF?
Ndio mkuu
JF ya nyumbani bado sina imani nayo sana kwa mwendo inayokwenda nao kwa sasa. Kule mi nafungua kusoma tu kisha narejea zangu zizini kt kwenye uhuru wa maoni.