Maxence Melo (Mmiliki wa Jamii Forums) na DW Swahili, kwa hili mjitafakari!

Mbona mahojiano yapo Online tu
jf walilifahamu hili tatizo walidharau
mwisho wasiku tunapata shida

Ni hivi, JF si kwamba walikataa, ila wanachosema ni kuwa wanaopaswa kusajiliwa kama Online Content Providers, sasa JF wao wanamiliki platform tu na content providers ni sisi wanachama, na endapo wangejisajili kirahisi ni kwamba wangetakiwa kukubaliana na vigezo vifuatavyo

  1. Mmiliki wa blog/forum atawajibika kwa chochote kitakachowekwa kwenye site yake.
  2. Pale itakapo hitajika mmiliki atatakiwa kutoa taarifa za watumiaji wake.
    Hayo ndo yamefanya wasite kujisajili mkuu, mimi nina blog na nimefuata taratibu zilizowekwa bila tabu lakini kwakuwa nafahamu namna JF inavyofanya kazi naelewa nikwanini wamesita kujisajili hata ingekuwa wewe usingethubutu unless umeamua kuwauza watumiaji wako wakapate kipigo cha mbwa koko.

Jombaa unapigana sana na keyboard, Fanya utafiti mzuri kabla ya kuvamia keyborad
Hivi Kina Mexence Mellow wamekosa hiyi milioni Moja ya usajili na ada?

Iko hivi, Moja ya kipengele cha usajili ni issue ya kutoa information za watu endapo zitatakiwa na serikali hapo ndipo kwenye utata man.
Wewe mwenyewe hapo inajiita MAGUFULI 4 CHANGE IN BLOOD. mbona usijiite jina lako halisi ambalo nalijua mimi,

Jingalao au Barbarosa katia timu huku.

Hahahahaaaa

@Mwifwa Ulidhani ni wewe mwenyewe umekuja kunywa chai kwa jiraniee!

Aiseee bonge la arosto wakuuu…

Hahahaaaaaaa

Si nimesema ngoja nijisevie kabla hawajaja, kumbe washafika kitambo kabisa

Kweli kabisa kabisa mkuu, jiwe lazima atukome kabisa na woga wake

Wanaakili mbupuni hao, mawazo Yao Hao ni hasi.

Yani imenibid leo nikumbuke account yangu niko busy nalike picha za watu

Hebu kamlete mshana kwanza…

tuko huku , wakitufata tunahamia china, Ogopa Mungu na Teknolojia

Wana lumumba nawatabiria maisha yenu yatakua magumu sana huku :smiley:

Atakuja tu yupo busy anarogaa

Vijino pembe mnatufuata nn huku kwa jirani. ? Ni uvhuro kabisa. Naona siku zimepita bila bk 7

Tar 15 ni deadline, lazima ajisajili tu. Tutarudi nyumbn

Yeah but tusimlaumu sana; jamani siasa za bongo si mnazijua; za kijima kijima

JF wasenge sana,
Wanatafuta huruma ya kisiasa.

Akitokea mtu akafungua App km ile ataipiteza JF kama daima

Nadhani dhulma kubwa ni kutumia nguvu nyingi kuunyima umma uhuru wa habari, kufanya hivyo kunazidisha hofu ya kujiandalia mazingira ya kuwa dikteta, kama una nia njema kwanini hutaki kusikia usiyopenda kuyasikia? Watanzania wanafiki aina yako ndio chimbuko la madhila haya. Nguvu unayoitumia kumsakama Max ungeitumia kuwaeleza waliokutuma kuwa jamii ya sasa inahitaji zaidi teknolojia kuliko kurudishwa nyuma kwa namna wanavyofanya.

Mwisho wa ubaya siku zote ni aibu.

LUMUMBA street katika ubora wenu
Buku 7
Kwa siku.