Nipo jamani, kwema?
Za uzima ni poaaa… Vipi wewe hujambo
Kwema sana Shem, umeadimikaaa
Sijamboo…nipo hapa nasubiri love connect:D:D:D:D:D:D:D:D
Mimi nipo humu humu sema tunapishana tu shem, siunajua nakesha majukwaa ya wakenya bado natafuta ile kitu
Hahaha
We tupia popoteee!! Hivi huna mbebez wewe
Hahaha
Sitaki ugomvi na mdogo wangu mieeee… Si unamjua lakini
Hahah!!
Kwakweli ngoja tuyaache tu mana yataleta mizozo bure
Dini inaruhusu hahaha
Hahaha
Aiseee
Nin sasa…
Halafu sijamuona huku ujue… Yuko wapi bongo movie wako
Nimemkataza…yupo kwenye maternity break
Hahaha
Kamkete bwana, pm si zimerudiiii kampe link akuje
mule hatapaweza maana kiswahili si kiswahili kingereza si kingereza full mkorogo
umeamua kujishtukia mapemaaaaa na ikidoda iyo pm utuambie hahaha
Ha ha haaa…sifunguagi…nahesabu tu
vinamba
Chibonge
o