ohoooo wamechokonoa nyukii
Hahaha… mimi napendaga zile kash kash… kwa hiyo hata kama ni ugenini, siachi
duuuuh Tz hawashindwiiiii
Hatushindwiii…kitaeleweka tuu
Toa ushauri…atunze siri ya nini wakati kuna watu wanashauri
ndiyo maana waswahili wanasema siri tunasema na bayana tunaficha.
Hayo ndo mahaba sasa
Kimsingi yote maisha, thats how people do live and balance things. Everyone is acting his own life scene.
Siri za ndani zikivuja ujue ameku snitch Mkeo/Mmeo.
Kweli kabisa mkuu…inabidi ushauri uupembue kama mchele…chuya utupe, mawe pia utupe na chenga utupe…ubaki na mchele wenyewe
Mkuu chenga usitupe, zitunze utakuja kula wakati wa njaa tena.
ukiolewa utayajuaga
Sasa tununie na ambao hawajatuudhi?
Huo unafiki sina. Nikinuna ndani ujue na huko nje sitakuchangamkia. Naweza kuongea nae lkn si kama kawaida. Kwa waliotuzoea ni lazima watashtukia
Sasa tununie na ambao hawajatuudhi?
Hivi mmewezaje kuja huku na majina yenu ya Jf? Mimi imenigomea imebidi nitafute username nyingine.
Hivi mmewezaje kuja huku na majina yenu ya Jf? Mimi imenigomea imebidi nitafute username nyingine.
pole, nmecreate tu account ikakubali user name ile ile
Maisha ya [COLOR=rgb(209, 72, 65)]kuigiza hayafai
wanajua kuficha shida zao
Mimi naamini matatizo ya wawili yatapata ufumbuzi kutoka kwao, pale yanapozidi bora kutafuta ushauri kwa watu wengine. Ila si kila mtu wa kumueleza matatizo yako.
Ungemuuliza papuchi yake anaikuna vp sasa???
Ana
https://encrypted-tbn2.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcReh8uIENkubOqD2bGUQsocg8BCqW1Coes4XfXulfWd9qju4Msbcb54l-JWkA
Au mchepuko??