Mombasani 2

:D:D:D:D:D:D:D Alien mwenyewe ako ngangari

Hehehe.

The times I have had solenoid switch trouble, the engine failed to turn. It just clicks.
You can bypass the solenoid.
Kuna contacts hapo chini you can connect with a screw driver.
Itabidi urudi tu kazi.
:D:D

Shait.!

Weka super glue na simiti kwa alternator…
:D:D

Sande sana, pewa WD48 nalipa, lakini hio a gd mechanic like you will detect the sabotage na unga yaweza mwagika, acha niongee na doc anipee kitu yawes fanya macho iwe blood red na ifule kiasi

Hiyo itakuwa very obvious…

Unaanika trade secrets…

Ngai!

:D:D
Halafu unasema bearing imeseize.

@Meria Mata uko na kile ki 1924 cha Transpares? Ki KAE ata vile kilipata inspection baffles me
Si uambie muarabu uendee maji Mazeras Birikani. Road is smoother than ya Nguu tatu…alafu pia unaeza ingia Bonje kwa Matano utoe kamoja ya kununua WD48 baada ya kazi.

Hiki kina number plate za zamani KW*, all stickers expired. Kinakaaga tu kwa yard new drivers hufanya interviews nacho

Wah! KW* , hiyo inakaa ni zile long nose za Hakika. Hapo kazi ipo bratha.
Hizo mikangafu sitakagi kuziskia.
Flat bed trailer KT* ya Hakika ishawai nipasukia pipe za hydraulic ya PS nikipanda Bonje na billets za kupeleka Tarmal pale Mazeras.
Usitake jua vile nilipiga ile sharp corner ya kuingia Tarmal hapo Mazeras pahali dual carriageway huanza.

He he he!
At times, lazima kitunguu kinuke. kipende kisipende!

Hakika alianza construction lini, ako na apartments mbili anapandisha classified location near my hood, ata bayusuf ndie alijenga ile barabara ya kuingia miritini sgr na ako na ingine kinago. Guys are diversifying fast

Forced kitunguu.
Madem ndio huumia saidi.

Yea they diversified kitambo sana with Hakika Bldng along Airport rd na Hakika Estate in Magongo. After hapo, they do sporadic buildings all over town.
Bayusuf was split by the 2 sons of the Bayusuf mzee- A.O Bayusuf(Ahmed Omar B) and M.A Bayusuf (Mohamed Amir B.) The former does quite well, the latter I’m not so sure.
Their cousin ventured into roads construction- A.A Bayusuf. Has various tenders around Kenya.
All this info is given by a resident maunga / teja from around Jomvu, ergo veracity cannot be guranteed.

These people usually have access to masterplans and blueprints…waay before sisi peasants zitufikie.
Around the same time is when Transpares ventured into milling ( Karibu Flour Mills) and a raft of other developments by major transporters:::::when they learnt of the actualization of the SGR was imminent.
Wa house, ciringi imuriikaga ingi.

Hii VC…kwani imekuwa bull’s eye on ya back @Meria Mata

maji ya lorry huchukuliwa wapi nguu tatu/kiembeni?