Mpo tu?

Tulipigwa sana when @Jazzman was away…malizana na hiyo magashui urudi job. 4th January is fast coming and we need to know your thoughts for next step of action …

3 Likes

He uses the handle @ksamurai

2 Likes

One more villager with relapses, @Wakanyama the company is here ,Hautoboi
Tupatane Elburgon head in to marioshoni

2 Likes

@gashwin was one of the people who was ingiliaring u @Jazzman when u were on suspended leave…saizi uwezi mwona hapa

5 Likes

Ala! Are you the de facto leader of the dim eyed brigade? :D:D:D

2 Likes

@gashwin is the one who reports pple to the mods + kuchochea so that one gets suspended. His the one behind your suspension @Jazzman…TRUST ME

4 Likes

Wakanyama is a Goodman trust me. …so is jazzman. Only problem in this kijiji is fingwa…huyo tu

2 Likes

Just as @spear @Nattydread are for shiny. . And my friend@gashwin is just a sympathizer :smiley:

2 Likes

Karibu. Tutavuka mwaka tukiwa pamoja hapa ktalk.

3 Likes

:D:D:D:D:D

Welcome back @Jazzman

2 Likes

@Jirani kuja…ndio huyu gashui:D
:smiley:

4 Likes

KWENDA KABISA SNITCH, UNAFANYA MTU ATUMWE KAMITI ANAUMIA NA BARIDI PLUS KUNGUNI…AKIWA JELA MLIKUWA MNAMCHEKA…SASA AMETOKA NDIO MNALETA MAZIWA YA POLE, hatutaki kamwe

3 Likes

Samehea adui yako jatelo

1 Like

:D:D:D:D:D:D

My shiny eye heritage is much stronger than dim eye (ndio maana niko molo) lakini shiny eye walinisukuma kwa sababu ya kuingilia jubilee. Shemeji moja akinikataa, si niende kwa yule ananikubali?

6 Likes

Karibu sana kutoka Alaska.

1 Like

Nimerudi nikiwa mguu chuma, wakijaribu masweep ni hao wataumia

2 Likes

I come in peace

2 Likes

And we are back in class three, sasa umeamua utafunga shule na gashwin?

7 Likes

wewe mungiki shocks nilisema ile siku tutaipatana ntakufunika kibaree wacha vile una tupa tumaneno apa

2 Likes

Asandeni sana for the warm welcome. Kazi inaanza sasa.

1 Like