Watu wana id za matusi humu sijawahi kuona.
Ingekuwa jf hizi id zingekuwa hazisomeki kama id ya Upupu , kafiri n.k
Watu wana id za matusi humu sijawahi kuona.
Ingekuwa jf hizi id zingekuwa hazisomeki kama id ya Upupu , kafiri n.k
tiGo. Live it | Love it
Mtoa mada vipi hutumii hio kitu?
Dunia imeshavua kila Kitu!
Dah mamae lishuke gharika tu tusepe
Uende wapi sasa?
Sumakuuuuu
Aaah. Aaah. Aaaah.
SUMAKU hatari sana
Why wanaita SUMAKU?
Nahisi uvutaji na ukamataji wake
Sasa jirani unathibitisha kwa maneno ya watu tu jirani.
Hebu siku moja karibia Bongo upate kujionea uhalisia wa mambo.
Mzima lakini jirani?
mi niko mzima kabisa mamy. Majaliwa nikipata hela nitatembea Dar, naambiwa ni kuzuri sana .Ila tu nilikuwa nataka kukuchokoza.
Hahahaaa. Usijali jirani najua katika majirani zako mmoja kati ya majirani zako unaomudu kuwachokoza na Hajar yumo Hahahaaaa. Ondoa hofu jirani.
Nimecheka eti hadi ukipata hela, hivyo usipopata hela hutakaa ufike bongo rafiki.
Nafurahi kusikia uko poa aiseee.
hahaha si unajua pesa ni muhimu.
Naskia wanatafuta kunakobana dyudu sana ili wapate joto Kali wajihisi wako nje ya sayari…
Hahahaaaaa. Na kweli aiseee.
Wewe uko dar
Nanga topeni
Na dereva wa mashua lazima akae nyuma
Na wewe unatoa huo mtandao pendwa?
Hahahaaa. Hapana jirani.
Ila ukiwa tayari nishitue tu kuna wenyeji kibao huko naweza kupatia ambao watakufanya usijutie kuja Bongo.