Mtandao wa Kenyatalk kuwa tishio kwa utawala wa Magufuli

Kenyatalk inavuna wateja kutoka 255

we ndiyo sijui kama atakuelewa. unamwambia ishu za kutanabahishana na sarufi:D

Maxence Melo ni smart kuliko unavyodhani. Ila anaheshimu mamlaka ya nchi…

@Mtanzania Makufudhi skuizi akoapi? :D:D

How

Du!!

Hakuna tishio lolote;

JamiiForums was a big brand already with a lot of business potential (making money through advertisements e.t.c), they couldn’t just abandon it and create something new anonymously, it would’ve been a big loss. So they choose to fight on court, the hearings are on going

Stop being an asshole brother.

Time will tell…

Cc: @Mahondaw

i live da way i like most…bila kumjali jiwe

mpotezee

Wew pipiro ushafika huku? Kawalete wenzako

Tulete kijaluo au? Acha ufala

Tehe wewe umefikaje huku mkuu??

Jiwe anakaribishwa huku pia kama anaubavu huo.

ni muda wa kuhamia deep wwb

Boss… We ni meffi sana… Respect ur elders

ila nmegundua hii kadhia dhidi ya jf itaikuza lugha yetu ya taifa kupita kawaida

Lakini wabongo, nanyi pia heshima muhimu. Sisi tukawalaki huku KenyaTalk na tukawapokea kama New villagers. Lakini matusi chungu mzima! Duh. Kiswahili chenu ongeeni. Mtuwachie Kiingereza cha mwingereza tukiongee. Haina haja ya matusi. Bora unacho taka wenzako wakielewe basi tumia lugha yoyote ueleweke. Matusi ya nini jameni.