Mutura n vichwa business

eastlands wapi?

In my hood kuna jamaa amechora wasee watano na hii biz … I am certain he makes more than 5k a day.io base kwanzia saa saba inakuanguanga busy hadi 8:30.

Huyu ni mtu najua sana personally

It might be more… Mwenye najua ameajiriwa wakiwa wengi in a such a place yeye huniambia on a good day anaweza pata more than 5k… Na ni wa kuajiriwa huyo… Kwa ivo owner anapata kitu safi sana

sema ni wapi nivisit

Kenyatta Road apo kwa macontainer

5k msee wakuchorwa!! Uyo anakuchocha.

Uza tu vichwa 1000 in a day. That’s 250K per day. In one week majamaa watakuwa wamekujua so unauza 10000 vichwas per day, hiyo ni 2.5M kila siku. Sasa nunua pikipiki 34 za kuendea customers. Ukikaakaa ununue pikipiki zingine 37 za kudeliver vichwa ama ni viswa

na kuuza vichwa zenyewe bila kupika?

uko na slaughterhouse ama unataka kukua broker?

broker

Maybe… Mimi sijui… Lakini ako na pesa mbaya sana… Amezoea kunituma kumnunulia vitu town na ye hunituma na 15k+… Saa ingine vitu zinafika ata 20k

Hapa hajahesabu miscellaneous expenses kama Transport to kichinjio, rent, storage, free kachumbari, makaa, etc. Those make all the difference.

salt, electricity, firewood, makaa, salaries etc

Biashara iko na pesa lakini in a very busy place where hustlers fluent. There are still expenses hapa na pale

I testify to this. I used to operate a similar business a while ago. Used to sell mutura, liver, samosa and soup. Used to make not less than 2500 per day. It’s a good business if you are consistent, have a ready customer base and are able to get the raw materials cheaply

where did you source them? why did you stop? does the location still exist?

@ChifuMbitika ingia inbox ya hii jamaa umusaidie. Ako very interested kuanzishi hii bizna

It was far in Laikipia county

Mtu wa Rumuruti