Mwanaume malaya wewe lazima upate mikosi!

Hii Mada kweli ya week end

Wakirudi second wanapigwa 6 ziwe 11

Hawa Panama watakuwa wanaume Malaya, acha wachezee kipigo cha umbwa mwizi

Mwanaume akiwa sio bahili anakua sio malaya Demiss?

Hahahahaha… Leo zamu yenu lol…

Inasikitisha sana smart wangu
mwanaume kama huyo amelaaniwa. huwezi mpeleka hawara / kimada kitandani mnakolala na mkeo…

Malizia ‘au na mumeo’ Mahondaw ili u balance usije onekana unavutia kwa Ke

Na wale wanaopangiwa chumba na bwana,halafu anaingiza mabwana wengine wanaitwaje?

Mbona hizo tabia hata wanawake wanazifanya pia

Mkuu halafu haya tunayoyaongea uyasikiage kwa watu tu kua yanawatokea omba Mungu yasikukute

chamdeko yamekukuta leo

Hii ktu mbn inafanywa hata na
Wanawake bwana anatoka
Na yy analeta sharobaro wake

Hee kumbe ww n ke

Nimekuelewa Mkuu,unampangia MTU ,kumbe ukiondoka nyuma huku kuna vikaragosi vinajipigia tu

Hasa wale wanaopangiwa NYUMBA/vyumba

Hahahahaaa sasa hapo kikaragosi kinakua ni wewe uliempangishia mwanamke, utabaki unachekwa na kupewa majina ya kila aina

Baki njia kuu,michepuko ni mikosi Na kujiongezea umasikini

unataka kuona sura ya baba

watu hawa ndo wana laaana maaana si jambo la kawaida

umalaya usio na elimu

hilo sambwanda tuu… mie hoi… sura sindo ntakufa kabisa? hebu geuka