Daah:oops:
Sasa watu ndio wanaamua nani afe na nani aishi na eneo la kufia ni wapi…??
Bashite atamaliza watu jamani huyu siyo wa kumchekea.
Naomba ulete huo ukweli ili uje uwathibitishie hawa wanaoropoka ropoka na kuhusisha na chama chako
Daah:oops:
Sasa watu ndio wanaamua nani afe na nani aishi na eneo la kufia ni wapi…??
Bashite atamaliza watu jamani huyu siyo wa kumchekea.
Naomba ulete huo ukweli ili uje uwathibitishie hawa wanaoropoka ropoka na kuhusisha na chama chako