Mm hata WA Kenya Poa tu. I love all.
hawa wa kwetu kenya ni kuvumilia tu…wajeuri sana.
Hahahaaa. Wacha weeee sifa zote hizi ni kwa warembo wa TZ tu. Aiseeeee.
Mie tayari bana jirani. Teh teh.
Kipi hicho bibie
ha jirani,hizi sio sifa tu. ni mambo ya kweli… ila mtuambie ubaya wenu sisi huku kenya hatuuoni
Hahaaa. Na hujakosea jirani hayo ni mambo ya kweli kama usemavyo na ndio tulivyo sie wa TZ.
Hahaa. Hatuna ubaya sie jirani. [emoji85]
We si ulisema bikra yako haikufika chuo!!..means chuo ulienda
kigezo cha pili sina aisee
Nina vigezo vyote lkn tatizo siku hizi nimekuwa chiriku…zamani nilikuwa mpole mwenyewe siongei
Hili pia ni tatizo
Kwani jirani
Wewe si uko single? Karibu bado sijapata.
Hapana siko Single jirani nishawahiwa mie tayari.
Fine, nimekukosa, alafu jirani wewe unaonekana kama vile mweupe, rangi ya mtume, Originated from Somali land.
Kipi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu hamsahau
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo ni sawa na kubeti kombe la Dunia huko Russia
Tena kubwa
Mkuu asiyechoka mapema kwahiyo unataka sex machine
Hapana, nataka mke. Ila mm sichoke mapema na napenda sana kufanya mapenzi.