wote tuu maaana kila mtu alikua anaakili yake iliyopitiliza
Wana lumumba wote
wajinga wajinga wote. kwakweli nimeuona umuhimu wao daah
Umemiss kuchwambwa eeh
Siku hizi sijui wanapatia wapi buku 7 maana JF ipo gizani, nimewaona wachache humu
Wanajipanga maana wana tawi lao la mitandaoni
Kwa hizi habari zilizozagaa watakuwa wamezipata, ngoja tusubiri watakuja tu
Wanasubiri ruhusa ya mwenyekiti na mhasibu ili asaini cheque ya posho
Nimemiss anavyowachamba vidume
Na wapokonywe akili kwanza:p:p:p:p
Mwambie aje apambane na kiswahili cha wakenya
Watakuwa wamepata habari kutoka BBC Swahili maana jana wamekunukuu kabisa na kuweka ID yako
Ningekuwa nina mawasiliano nae ningemuita. Akuje kutuchangamsha
espy na Heaven Sent hawapo humu?
Muda si mrefu atapata taarifa maana vyombo vya habari vimeanza kuripoti ukimbizi wetu huku
Ontario vipi?..kashafika?
The list hayupo humu jamani?
Ila hili neno villager linanikwaza sana. But why?
Nadhani bado
Malcom lumumba