natafuta mke mtanzania

weka CV zako hapa, kuna vitu vinatuvutiaga

Mkuu nana mimi natafuta mke toka Kenya, naona ma dame wa kenya ni very romantic, wakarimu na wapole pia.

Speak for yourself sir, wewe rudi river road utafute malaya huko umuoe

Huku waitwa kunguru, na hawafugiki. Hebu cheki hii clip, demu aalikwa date kisha aja na wenzake (sheng imejaa kipindi kizima lakini)

https://www.youtube.com/watch?v=GWv9IZ_pFi8

Mungu akusaidie kwenye hitaji lako

Ngoja tuone…

Cc: @Mahondaw