Hujawahi kuachika mkuu.?? hyo sifa wadada wengi hawana
Niko fresh kabisa kama samaki ndio nimetoka ziwani
Umeshapimwa na urefu kabisa au siyo.? basi wewe unafaa, ila huyo kijana mwenzangu si ndio ulisema wale wa baada ya Chali kimoko.
Nipo chaka natafuta Dawa
Ngoma ya kikuyu unaweza cheza nikutafutie bibi moja ya dadaab
Ndiyo kikubwa maelewano nipo tayari
Unatafuta mke kutoka Tz au Ke?
Halafu ukisema huyo atakayekuwa mkeo kama sio mkiristu awe tayari kukufuata, akufuate mkienda kanisani bila yeye kubadili dini au?
Unatafuta mke kutoka Tz au Ke?
Halafu ukisema huyo atakayekuwa mkeo kama sio mkiristu awe tayari kukufuata, akufuate mkienda kanisani bila yeye kubadili dini au?
Ok, akubali kunifuata nilimanisha Abadili dini
P
Unatafuta mke kutoka Tz au Ke?
Halafu ukisema huyo atakayekuwa mkeo kama sio mkiristu awe tayari kukufuata, akufuate mkienda kanisani bila yeye kubadili dini au?
Popote akiwa anaishi nipo tayari
Watoto wanavyozaliwa wazuri kila siku bado mnamawazo ya kuoa??
Bado iko kwenye makaratasi kabisa eeeeh mpyaaaaaaaaa
Ndoayetu:
Habari ,naitwa Johnson natafuta mke wa kuoa, umri wangu ni miaka 35 naishi dar es salaam, nimeajiriwa katikaTaasisi binafsi, dini yangu ni mkristo, elimu yangu nina shahada ya biashara ,sina mtoto, wala sItumii kilevi chochote cha pombe,
Mke ni mtakaye
Awe na miaka kuanzia 25-32,elimu kuanzia dploma na kuendelea, awe hana mtoto, hanywi pombe, awe mweupe wa asilia, awe amejiajiri au kuajiriwa, awe mkristu na kama ni muislam awe tayari kunifuata, awe hajawahi kuolewa na kuachika. Karibu sana kwa ataye kua tyr tuwasiliane pm au kwanamba hii +255756711958
Masharti ya elimu yana faida gani?
Ndoayetu:
Habari ,naitwa Johnson natafuta mke wa kuoa, umri wangu ni miaka 35 naishi dar es salaam, nimeajiriwa katikaTaasisi binafsi, dini yangu ni mkristo, elimu yangu nina shahada ya biashara ,sina mtoto, wala sItumii kilevi chochote cha pombe,
Mke ni mtakaye
Awe na miaka kuanzia 25-32,elimu kuanzia dploma na kuendelea, awe hana mtoto, hanywi pombe, awe mweupe wa asilia, awe amejiajiri au kuajiriwa, awe mkristu na kama ni muislam awe tayari kunifuata, awe hajawahi kuolewa na kuachika. Karibu sana kwa ataye kua tyr tuwasiliane pm au kwanamba hii +255756711958
Watu kama nyinyi vigezo vingiiiiiiiiii wenyew MNA masura ya ajabu kama majambazi
paap
June 23, 2018, 5:48pm
39
nakufatilia kwa ukaribu kweli.
Mwenye ako na sura ya ajabu kama jambazi huyo ndio MWANAUME sasa unataka sura mzuri kama ya DADA YAKO ili utongonzwe?