Wanaoliwa na kuachwa ni wale wanaobana ati mpaka umuoe… wanatangaziwa ndoa wanachanua wanaliwa na kuachwa…
Wale wa namna hiyo wa kukukalia uchi makusudi ofcoz wapo mawindoni wamejiandaa… wanajua wanachofanya…
Cc: @Mahondaw
Wanaoliwa na kuachwa ni wale wanaobana ati mpaka umuoe… wanatangaziwa ndoa wanachanua wanaliwa na kuachwa…
Wale wa namna hiyo wa kukukalia uchi makusudi ofcoz wapo mawindoni wamejiandaa… wanajua wanachofanya…
Cc: @Mahondaw
Sana…inaitwa gusa unate
Hawa hawawindi ndoa wanawinda PESA…
sipati picha kabisa
Mwambie kizuri ale na ndugu yake Tanganyika sote ni ndugu:cool:
H
Hahaaaa…
pia matangazo yameshamiri kwel huko barabarani
Hataree…
Nigawie na mimi bhas
Ina maana wateja wapo
lzm watakuwepo sababu kila siku yanaongezeka, kama wasingekuwepo yangepungua kbs
Hujambo bebi
Dawa ikiisha utamuona mkeo kama dume mwenzio…
Nitatafuta mchepuko tu maana kosa lake atalijua
Hapa utakuwa umemkomoa
Hahah!!
Hujambo beb
Wa bongo mna mambo. Yaani mtu anaenda kwa babu kufanyiwa mazingaombwe ndo aolewe.
Kama ni mtamu nitarudi tena.