Ni vyema ukayajua haya kabla ya kuingia kwenye ndoa.

@mtongwe ndiyo mie ni mchambuzi wa malavi davi naitwa @moto ya mbongo sio mtoto wa bongo

Pembetatu=Triangle

It’s cliche really for some guys to keep on claiming they can’t understand Swa posts.

Hii ndio inaitwa kitate.

well said and let the best couple last till eternity

Triangle

:):slight_smile:

Punyeto yaharibu mwili kivipi kakangu ? @moto ya mbongo
Hapa ktalk, wengi ni ‘wapenzi watazamaji’ , inabidi raha wajipe wenyewe.

Lakini io story ya Waziri wa butangi umetupima mafi lakini AiSuru

Thanks, though hii ni wewe ama Google translate?

:D:D:D
Zoning manenos.

Sio maringo. We do not speak English or swahili, ours is hybrid language incorporating several ethnic words and others which have been made up. E.g tenje = radio while to others its a cellphone. So it depends on the context.

Kwa hivyo uwes ni mzinzi

Haha…sikumbuki jina ya hio set book

Eeii, wacha tupambane na ile uliandika swahili. Hii tafsiri ni bonoko deh.

:D:D:D:D:D

but for real conc swahili is hard,mimi ujiita mswahili but sidhani yangu ni kiswahili,mqybe a mixture of kibantu,mandarin na kiwakanda.cant tell for real what it is

mayai waziri wa maradhi and other stories.
Afu io iko na story za butangi ni Kifo kisimani,.

Subiri ujifunze kiswahili mkuu

:smiley: