Nimekuwa nikikula baby mama wa karao.

Usijali , hiyo bullet ni ndogo , hata hautaskia uchungu… R.I.P !

Mimi nilikulanga Bibi ya mjeshi mpaka akahamia kwangu. Kalikuwa kamanzi Ka 20 years na jamaa alikuwa anamtesa. Mjeshi alijua akatuma wazee waje wamchukue. Walimchukua na akarudiana na bwanake. Baadaye nilipigiwa simu na mjeshi tukutane kwa club fulani and finalize hio maneno. Vile tulikutana akaniambia hana shida na Mimi coz ndiye alikuwa ametesa wife. Tulinunua pombe na nyama tukakula na kunywa na kumaliza hiyo maneno. Mpaka saa hii tuko mabeshte sana naye. Hata last month vile alikuja from abroad aliniletea mizinga na canned meat mob zile za AFCO.

Are you not being fattened for slaughter?

No. Hio maneno tulitatua na ikaisha. Almost three years ago.

Huyo atakukulia your wife or daughter. Mark my words.

Wacha kumdanganya in Baragoi the RDU the elite AP unit is operating and mtapatana huko, those guys undergo special combat tactics including hand to hand combat, utavunjwa shingo bure Tu.

Now you re not breaking my ribs over such a serious issue, are you?

Sidhani!

:D:D:D:D:D

OP usitishike braza kama mbaya mbaya.Ikienda tits up weka distress call hapa village tutakuja tukusaidie

:D:D:D mchoche tuu.

Huyo labda alikua anakula wa wenyewe so aliheshimu karma…ungepata mwingine ingekua story different

hawa wanawake wanakuliwa na wameolewa kwani ni rape? They are equally to blame for consenting to it.

Sema ukweli!

Unajua 7.62x51?

stay away from that kunguru.thats the only way to be assured of your safety