Aviator, wacha kutusumbua Na vitu ndogo ndogo
Nice phone
slow… nishazoea vitu za quick charge mimi. kitu naamka asubuhi naweka charge na nikinyora nioge ninywe chai iko 100% na inalast the whole day
ulibai wapi?
:D:D:D:D:D:D
Ikiwa ni ya 2gb bei ni sawa. Wholesale price ni 9200kshs
ungechukua lenovo vibe p1. hio bei, 4000mah battery, 4g etc …
Usiskize story za hawa watu wa nyapdragon qwolkwom. Mediatek mambo yote inaitwa chip ya multitasking. Mediatek hoiyeeeee
Aviator ni nyanyako unashidanga ukimtaja? Get a life.
Ume sacrifice 10.5K ndio uweze kusafisha macho vizuri,I hope haita kudisappoint
Usidanganywe. Hiyo 4,000 Mah ni juu haina power saving features. Hiyo kitu ni guzzler ya power juu processor zake haziwezi kujishut down wakati hazitumiki. Camera pia zinakuwanga za ovyo, ukipiga picha inakaa mchoro ya water colour. Alafu malware kibao!!!