nimeimiss jf balaa
stori za lara 1 nikizimiss sijui kama huku yupo
Jinsi ya kutafsiri ndoto uliyoota
Ule uzi uliacha makovu mengi sana kwa wadada wa Jf
Hahaahaaa…
Wakubwa mnafaidi eehhh…
Cc: Ontario
Leo wametuhifadhi huku ugenini… tehteehhh
Watu walikuwa wanatoa povu balaa hapa
Ule uzi wa nyoka “black mamba” ukiongozwa na mkuu “Imhotep”
Ule wa kupata likes
hatar…
nshida saiv ngoja tuwe wadogo tu. japo naona kuna uzi mwngne umeanzishwa…
Kiranga sio atheist ni non-believer
Uzi wa FOREX
Uzi wa forex[COLOR=rgb(20, 20, 20)] hasa baada ya mambo kujiset vizuri
Nasema hivii nirudishieni pesa yangu, nimenyoa Rasta zangu nikaleta CV na sijaitwa kwenye interview si ujinga huu
:D:D:D huu uzi kiboko
:D:D:D:D:D
Uzi wa kupeana likes comment chochote upate like:(:( :-JEMBEKILO
Hakuna uzi wenye raha kama huu,i miss home
Uzi wa kupeana likes
Jf usiku wa manane